Tuesday 22 May 2018

KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI, SUSAN MLAWI ATEMBELEA 4CCP

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Susan Mlawi (kushoto) akifurahia jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, Hudson Kamoga, kwenye nyumba ya jamii ya wabantu kituo cha pembe nne za utamaduni Haydom (4CCP), kulia ni mwakilishi wa jamii hiyo Salimu Shabani.

No comments:

Post a Comment