Saturday 29 November 2014

NAWAKABIDHI SARUJI



Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo ( wapili kulia) akiwakabidhi Diwani wa Kata ya Ganana, Wilayani Hanang’ Zacharia Tarmo na Diwani wa viti maalum Juliana Songai, moja kati ya mifuko 100 ya saruji yenye thamani ya sh1.7 milioni iliyotolewa na wakuu wa idara wa halmashauri ya wilaya hiyo, kulia ni Mkuu wa wilaya hiyo Christina Mndeme na katikati ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo Filex Paul Mabula.

TUNAFUATILIA BUNGE



Wananchi wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakifuatilia kikao cha Bunge.

Tuesday 25 November 2014

MAPUNDA APOKEWA MBINGA

Msafara wa vijana wakereketwa wa Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma wakimpokea Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Sixtus Mapunda.
 

WANAFUNZI

Mmoja kati ya wanafunzi wa vyuo vilivyopo hapa nchini, ambaye hutumia miili yao kwa ajili ya umalaya.