Sunday 26 July 2015

UNDP NA TEF WAWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WA HABARI KUANDIKA HABARI ZA UCHAGUZI

 Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa kushiriki mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi yaliyoandaliwa na shirika la maendeleo la umoja wa mataifa (UNDP) na kufanyika kwa siku mbili mjini Bagamoyo Mkoani Pwani katikati aliyekaa ni Mkurugenzi mkazi wa UNDP nchini Alvaro Rodriguez .
 Mwandishi wa Clouds Media Godfrey Kusolwa akizungumza kwenye mafunzo ya waandishi wa habari kuandika habari za uchaguzi yaliyoandaliwa na shirika la maendeleo la umoja wa mataifa (UNDP) na kufanyika kwa siku mbili mjini Bagamoyo Mkoani Pwani.
 Mkurugenzi mkazi wa shirika la maendeleo la umaoja wa mataifa (UNDP) Alvaro Rodriguez akizungumza jana na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali walioshiriki mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi mjini Bagamoyo Mkoani Pwani.
 Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakishiriki mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi yaliyoandaliwa na shirika la maendeleo la umoja wa mataifa (UNDP) na kufanyika kwa siku mbili mjini Bagamoyo Mkoani Pwani.
 Mkurugenzi mkazi wa shirika la maendeleo la umaoja wa mataifa (UNDP) Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali walioshiriki mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi mjini Bagamoyo Mkoani Pwani.
Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakishiriki mafunzo ya kuandika habari za uchaguzi yaliyoandaliwa na shirika la maendeleo la umoja wa mataifa (UNDP) na kufanyika kwa siku mbili mjini Bagamoyo.

UZINDUZI WA TIBA KWA KADI (TIKA) BABATI


Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela akilenga shabaha kwenye uzinduzi wa huduma ya tiba kwa kadi (Tika) katika halmashauri ya mji huo katika uwanja wa Kwaraa.

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela akizungumza kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati katika uzinduzi wa huduma ya tiba kwa kadi (Tika) wa halmashauri ya mji huo, kulia ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji huo Omary Mkombole.

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela akilenga shabaha kwenye uzinduzi wa huduma ya tiba kwa kadi (Tika) katika halmashauri ya mji huo katika uwanja wa Kwaraa.

TUNAJITOLEA KUJENGA DARASA



Raia wa kujitolea kutoka nchini Marekani wakishirikina na mafundi kujenga darasa kwenye shule ya msingi Managa, Wilaya ya Babati Mkoani Manyara.


Tuesday 21 July 2015

NAGOMBEA UBUNGE MANYARA


Makamu Mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Manyara, (Mamec) Mary Margwe (kushoto) akirudisha fomu ya kugombea ubunge wa viti maalumu mkoani humo kwa Kaimu Katibu wa UWT mkoani Suraiya Kangusu.