Sunday 23 June 2013

MATUKIO TOFAUTI

                                                                 

Mkuu wa Kituo cha Polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara SP,Ally Mohamed Mkalipa akiwa na viongozi wa dini na wa siasa wa mji huo walipokutana kwa ajili ya kuhakikisha usalama katika mji huo.

                                                                              

Mkuu wa Kituo cha Polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara SP,Ally Mohamed Mkalipa akiwa na viongozi wa dini na wa siasa wa mji huo walipokutana kwa ajili ya kuhakikisha usalama katika mji huo.

                                                                      

Umati wa watu waliohudhuria mkutano wa mwisho wa kampeni ya Chadema Juni 15 mwaka huu,ya udiwani wa kata nne za Kaloleni,Themi,Elerai na Kimandolu za jijini Arusha,ambapo watu watatu waliuawa na zaidi ya 60 kujeruhiwa,baada ya bomu kurushwa na mtu  asiyejulikana.



Mchungaji wa KKKT Usharika wa Sokon One Issack Kisiri akiweka wakfu kwenye kaburi la marehemu Judith Moshi aliyekuwa Katibu wa Chadema wa Kata ya Sokon One,aliyeuawa na bomu lililorushwa kwenye mkutano wa Chadema eneo la Soweto,Juni 15 mwaka huu.



Wakazi wa Kijiji cha Ngwandakw,Kata ya Haydom Wilayani Mbulu Mkoani Manyara,wakiwa kwenye foleni ya maji ambapo ili kuweza kupata maji inambidi mtu atumie muda wa saa mbili hadi saa tatu ili kuyapata.

Tuesday 18 June 2013

SUGU ANUSURIKA KUFARIKI



Mbunge wa Jimbo la Mbeya Joseph Mbilinyi Sugu amenusurika kufa baada ya kugongwa na basi la Coast Line kwenye eneo la Katesh WIlayani Hanang hata hivyo hakuudhurika ila vioo vya gari lake viliingia jichoni na vimeshatolewa.