Wednesday 20 September 2017

RAIS JOHN MAGUFULI AZINDUA BARABARA YA LAMI YA KIA MIRERANI

 Rais John Magufuli akiingia kwenye viwanja vya getini Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, kuzindua mradi wa barabara ya lami ya kilomita 26 iliyogharimu shilingi milioni 32 
 Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera akiwapungia mkono wananchi wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro wakati wa uzinduzi wa barabara hiyo. 
 Wananchi wakimsikiliza Rais Magufuli
  Wananchi wakimsikiliza Rais Magufuli
  Rais John Magufuli akiwapungia mkono wananchi 
 Wananchi wakimsikiliza Rais Magufuli

MKUU WA MKOA WA MANYARA DK JOEL BENDERA AWATOA HOFU WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI YA TANZANITE