Monday 31 July 2017

WANANCHI WA NAMALULU WATOA KERO KWA DC WA SIMANJIRO


Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mhandisi Zephania Chaula akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Namalulu Kata ya Naberera, baada ya Esupat Laizer kulalamikia changamoto ya maji, wizi wa punda na migogoro ya ardhi 

No comments:

Post a Comment