Monday 31 July 2017

DC BABATI AWAPA ELIMU WANANCHI WA LUXMANDA JUU YA MATUMIZI YA MAJI

 Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Raymond Mushi akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Luxmanda Kata ya Secheda, juu ya mgogoro wa maji (kushoto kwake) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Hamis Malinga.

No comments:

Post a Comment