Tuesday 12 March 2013

ZIARA YA KINANA CHINA



Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM,Khadija Aboud akisalimiana na  Katibu wa kitengo cha kusimamia maadili wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC),Huang Xianyao,Aboud alikuwa kwenye msafara wa viongozi wa CCM wakiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahaman Omary  Kinana na ujumbe wake walipokuwa na hafla maalum iliyofanyika katika hoteli ya Dongfang Jimbo la Guangzhou,China.



Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahman Omary Kinana akimkabidhi zawadi ya kinyango cha Kimakonde,  Katibu wa kitengo cha kusimamia maadili wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC), Huang Xianyao,  Kinana na ujumbe wake walipokuwa na hafla maalum iliyofanyika katika hoteli ya Dongfang Jimbo la Guangzhou,China.

No comments:

Post a Comment