Saturday 2 March 2013

MHESHIMIWA GAPCHOJIGA



 Diwani wa Kata ya Mogitu Wilayani Hanang’ katika Mkoa wa Manyara,Leonard Gapchojiga akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya hiyo,kilichopitisha bajeti ya sh33.511 bilioni ya mwaka wa fedha wa 2013/2014.Picha na Joseph Lyimo

No comments:

Post a Comment