Tuesday 12 March 2013

DC UFUNGUZI



 Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,Brigedia Jenerali Cosmas Kayombo akizungumza na wajumbe wa eneo tengefu la Mirerani baada ya kukagua mfereji wa D’Souza wa machimbo ya madini ya Tanzanite uliogharimu sh330 milioni (kulia) ni Mbunge wa Jimbo hilo Christopher Ole Sendeka na Kamishna wa madini Kanda ya kaskazini Benjamin Mchwampaka.

No comments:

Post a Comment