Hawa ni wachimbaji wadogo wa madini ya
Tanzanite (WanaApolo) wa Mji mdogo wa Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani
Manyara ambao ni kati ya zaidi ya Watanzania milioni moja wanaotegemea
uchimbaji mdogo wa madini na inakadiriwa kuwa madini ya Tanzanite huingiza
mapato yanayofikia dola za marekani milioni 20 kwa mwaka hapa nchini lakini
soko la dunia takwimu zinaonyesha huwa mauzo ya dola milioni 500 za marekani kwa
mwaka yanafanyika,kiasi ambacho ni kikubwa mno ukilinganisha na takwimu za
mauzo zinazopatikana hapa nchini.
No comments:
Post a Comment