Tuesday 12 March 2013

WANAAPOLO WA TANZANITE



Hawa ni wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite (WanaApolo) wa Mji mdogo wa Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara ambao ni kati ya zaidi ya Watanzania milioni moja wanaotegemea uchimbaji mdogo wa madini na inakadiriwa kuwa madini ya Tanzanite huingiza mapato yanayofikia dola za marekani milioni 20 kwa mwaka hapa nchini lakini soko la dunia takwimu zinaonyesha huwa mauzo ya dola milioni 500 za marekani kwa mwaka yanafanyika,kiasi ambacho ni kikubwa mno ukilinganisha na takwimu za mauzo zinazopatikana hapa nchini.

No comments:

Post a Comment