Saturday 2 March 2013

MWENYEKITI HANANG'


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara,Anju Mang’ola akifunga kikao cha Baraza la Madiwani ambapo walipitisha bajeti ya mwaka wa fedha wa 2013/2014 ya sh33.511 bilioni (kushoto) ni Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo Felix Mabula.

No comments:

Post a Comment