Tuesday 12 March 2013

UKAGUZI DSOUZA


Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,Brigedia Jenerali Cosmas Kayombo (kushoto) na Mbunge wa Jimbo hilo,Christopher Ole Sendeka wakikagua mfereji wa D’Souza wa machimbo ya Tanzanite Mirerani uliogharimu sh330 milioni ambao mwaka 2008 maji yaliyopita kwenye mfereji huo uliuwa wachimbaji wadogo 79 huku wakimsikiliza Kamishna Msaidizi wa madini kanda ya kaskazini,Benedict Mchwampaka.

No comments:

Post a Comment