Saturday 2 March 2013

DED HANANG'



Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara,Felix Mabula akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wa halmashauri ya wilaya hiyo,ambapo walipitisha bajeti ya shilingi Bilioni 33,511,872,144 kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014 (kulia) ni Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Anju Mang’ola.

No comments:

Post a Comment