Sunday 3 March 2013

RIP BENSON MOLLEL



Marehemu Benson Mollel (26) (wa pili kulia) ambaye alikuwa Meneja wa mgodi wa Mathias Manga kwenye madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara na pia Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) amefariki dunia Machi 3 mwaka huu kwenye chumba cha hoteli ya Lush Garden Business ya Mtaa wa Jacaranda jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment