Tuesday 5 March 2013

RIP BENSON MOLLEL



Marehemu Benson Mollel (kushoto) ambaye alikuwa Meneja msaidizi wa mgodi wa Mathias Manga kwenye machimbo ya madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani akiwa na Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,Brigedia Jenerali Cosmas Kayombo alipotembelea mgodi wao,marehemu Ben ambaye pia alikuwa Mjumbe wa Baraza la UVCCM Taifa kupitia mkoa wa Arusha anazikwa leo nyumbani kwao kata ya Lemara.

No comments:

Post a Comment