Tuesday 5 March 2013

AKIZAMIA MGODINI


Marehemu Benson Mollel ambaye alikuwa Meneja msaidizi wa mgodi wa Mathias Manga kwenye machimbo ya madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani akiwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini) Stephen Maselle na msimamizi wa mgodi huo Othman Miraji wakishuka mgodini kwao,marehemu Ben ambaye pia alikuwa Mjumbe wa Baraza la UVCCM Taifa kupitia mkoa wa Arusha anazikwa leo nyumbani kwao kata ya Lemara

No comments:

Post a Comment