Tuesday 12 March 2013

WAJUMBE WA ENEO TENGEFU MIRERANI



Wajumbe wa eneo tengefu la Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wakikagua mfereji wa D’souza ambao mwaka 2008 ulisababisha vifo vya wachimbaji wadogo 79 wa madini ya Tanzanite uliojengwa kwa gharama ya sh330 milioni wakimsikiliza Kamishna Msaidizi wa madini Kanda ya Kaskazini Mhandisi Benjamin Mchwampaka.

No comments:

Post a Comment