Saturday 2 February 2013

WATALII

Watoto July Helmiut (kushoto) na John Helmiut kutoka nchini Brazil wakitumia likizo ya shule juzi kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Tarangire Wilayani Babati Mkoani Manyara,hapa wakiwaangalia tembo wakubwa kuliko wote duniani waliopo kwenye  hifadhi hiyo.

No comments:

Post a Comment