Friday 15 February 2013

MWENYEKITI HALMASHAURI SIMANJIRO


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,Peter Tendee akifungua kikao cha Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo ambapo juzi walipitisha bajeti ya sh14.991 bilioni kwa mwaka wa 2013/2014 (kulia) ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Patrice Saduka na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa huo,Lucas Ole Mukus.

No comments:

Post a Comment