Friday 15 February 2013

RIP BONNY

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Mkoani Arusha,Joshua Nassari akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Boniface Gadi mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite,ambaye alifariki dunia kwa kuangukiwa na ngema na kuzikwa Mbuguni wilayani Arumeru.

No comments:

Post a Comment