Friday 15 February 2013

MBUNGE MSIBANI

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Mkoani Arusha,Joshua Nassari akiwana na baadhi ya wachungaji kwenye mazishi ya marehemu Boniface Gadi mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite,ambaye alifariki dunia kwa kuangukiwa na ngema katika machimbo ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani na kuzikwa Mbuguni wilayani Arumeru.

No comments:

Post a Comment