Thursday 14 February 2013

DIWANI NAISINYAI

Diwani wa kata ya Naisinyai Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,Clemp Ole Kinoka akisoma maazimio ya kamati ya Elimu,Afya na Maji,kwenye Baraza la Madiwani wa wilaya hiyo (kushoto) ni Diwani wa kata ya Naberera,Sumleck Ole Sendeka na Diwani wa kata ya Oljoro Namba tano,Julius Lesakwi.

No comments:

Post a Comment