Thursday 22 May 2014

WAJUMBE WA HALMASHAURI YA CCM BABATI MJINI

Diwani wa kata ya Bonga Mjini Babati Mkoani Manyara, Pasian Siay akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri ya CCM ya wilaya ya Babati.

Katibu wa CCM wa Mkoa wa Manyara, Ndengasso Ndekubali akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri ya wilaya ya Babati mjini.

Wajumbe wa Halmashauri ya CCM Babati mjini Mkoani Manyara wakifuatilia kikao cha Halmashauri ya wilaya hiyo.

No comments:

Post a Comment