Thursday 22 May 2014

WACHIMBAJI MADINI TANZANITE

Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka akizungumza na wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani

Diwani wa Kata ya Endiamtu Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, akizungumza na wachimbaji wadogo wa madini 

Wanachama wa CCM na wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakimpokea Mbunge wa Jimbo hilo Christopher Ole Sendeka

No comments:

Post a Comment