Sunday 20 April 2014

SIKU YA MKULIMA WA UFUTA BABATI


Wasanii wa Goroa Tradition Dancing group wa Kata ya Qash Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wakitoa burudani kwa wadau wa zao la ufuta, kwenye siku ya mkulima iliyofanyika kitongoji cha Maweni, Kijiji cha  Endadosh, Kata ya Qash, Wilaya ya Babati Mkoani Manyara.
 Afisa kilimo wa mradi wa ufuta wa shirika la Farm Africa, Tumaini Elibariki akimsikiliza Mtafiti wa Biosciences for Farming in Africa, kutoka London Uingereza, Claudia Canales kwenye siku ya mkulima iliyofanyika katika kitongoji cha Maweni, Kijiji cha Endadosh, Kata ya Qash, Wilaya ya Babati Mkoani Manyara.

Wasanii wa Goroa Tradition Dancing group wa Kata ya Qash Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wakitoa burudani kwa wadau wa zao la ufuta, kwenye siku ya mkulima iliyofanyika kitongoji cha Maweni, Kata ya  Endadosh Wilaya ya Babati Mkoani Manyara.


Wadau wa kilimo cha ufuta wakiwa kwenye siku ya mkulima wa ufuta iliyofanyika kwenye kitongoji cha Maweni, Kitongoji cha Endadosh, Kata ya Qash Wilayani Babati Mkoani Manyara.


Mkulima wa zao la ufuta katika Kitongoji cha Maweni, Kijiji cha Endadosh, Kata ya Qash, Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, John Kunda, akiwaelezea Ofisa kilimo wa huo, Coletha Shayo na Ofisa kilimo wa mradi wa ufuta wa Shirika la Farm Africa, Tumaini Elibariki namna alivyoliendeleza shamba lake la ufuta

No comments:

Post a Comment