Monday 21 April 2014

PASAKA ILIVYOSHEREHEKEWA MJI MDOGO WA MIRERANI


Wanakwaya wa Mtakatifu Cecilia wa Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mama wa Rozali Takatifu wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiimba baada ya kumaliza misa ya Pasaka kanisani hapo jana.


Padri Modestus Makiluli, wa Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mama wa Rozali Takatifu wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara,akiendesha misa ya ubatizo na komuniyo kwenye kanisa hilo wakati wa sikukuu ya Pasaka, Aprili 20.



Bwana harusi Ladslaus Manyanya (kulia) na mkewe Patricia Magero, (wa pili kulia) wakiwa na wapambe wao baada ya kufunga ndoa jana kwenye sikukuu ya pasaka katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mama wa Rozali Takatifu wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.

Familia ya Kalacheni, ikiwa na furaha baada ya kumaliza kusali sikukuu ya pasaka kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mama wa Rozali Takatifu wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.

No comments:

Post a Comment