Sunday 20 August 2017

MABASI MAWILI YAGONGANA MBULU

 Mkuu wa Wilayani Mbulu Mkoani Manyara, Chelestino Mofuga akikagua ajali ya mabasi ya kampuni ya Manday Trans na Neema ya Mungu, iliyotokea kwenye daraja la Kijiji cha Masqaroda na kusababisha watu 20 kujeruhiwa ila hakukuwa na vifo, majeruhi hao wamelazwa kwenye hospitali ya wilaya ya Mbulu na wengine watatu wamelazwa hospitali ya rufaa ya Haydom inayomilikiwa na KKKT
Basi la kampuni ya Manday Trans baada ya ajali hiyo
 Basi la Neema ya Mungu baada ya ajali hiyo
 Mkuu wa Wilaya ya Mbulu na Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Paul Bura wakiwa wamewatembelea majeruhi wa ajali hiyo kwenye hospitali ya Mbulu
Mmoja kati ya majeruhi wa ajali hiyo. 

No comments:

Post a Comment