Monday 30 June 2014

TUMEELEZWA MAFUNZO YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI JUU YA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA


Baadhi ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Manyara, wakiwa kwenye kikao jana mjini Babati na ujumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mkuu mstaafu wa Zanzibar, Hamid Mahamoud Hamid, ambapo walipatiwa elimu ya zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa teknolojia mpya ya Biometric Voter Registration (BVR) unatarajia kuanza mwezi Septemba mwaka huu.
.

No comments:

Post a Comment