Sunday 29 June 2014

NACHANGIA DAMU



Mkazi wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoniani Manyara, Japhary Matimbwa akichangia damu kwenye kituo cha Afya Mirerani, ambapo katika zoezi la kuchangia damu lita tatu pekee zilipatikana baada ya watu watatu kujitokeza kuchangia damu (kushoto) ni mtaalamu wa maabara wa kituo hicho, Dr Fanuel Laizer. 


No comments:

Post a Comment