Saturday 21 June 2014

HAPPY BIRTHDAY IAN


Mtoto Ian Matoi (kushoto) wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, akiwa na mpambe wake Andrew Joseph Lyimo, kwenye sherehe yake ya kutimiza miaka miwili ya kuzaliwa kwake, iliyofanyika nyumbani kwao Mirerani.

Mtoto Ian Matoi wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, akilishwa keki na mama yake Jema Lilama, kwenye sherehe yake ya kutimiza miaka miwili ya kuzaliwa kwake, iliyofanyika nyumbani kwao Mirerani katikati ni Andrew Joseph mpambe wa Ian.

No comments:

Post a Comment