| Wakiwa na zawadi yao ya ng'ombe baada ya kupewa na waumini wa kanisa lao eneo la Kilinga wilayani Arumeru. |
Bwana na Bibi harusi |
| Mheshimiwa mbunge akipongezwa na baba yake mzazi mchungaji Samwel Nassari baada ya kufunga ndoa yao jana jumamosi |
| Bwana na Bibi harusi baada ya kufnga ndoa yao |
| Mara baada ya kumaliza kufunga ndoa yao |
| Bibi harusi Anande Nnko baada ya kufunga ndo na Nassaria |
| Mbunge wa Jimbo la Arumeru, Joshua Nassari na mkewe Anande Nnko |
| Msafara ndiyo unatoka kanisani na kueleka kwenye barabara Kuu ya Moshi- Arusha |
| Mbunge kachukua kifaa |
| ilikuwa hivi |
| Baba, baba huyoooo na Mama, mama huyooo |
| Msafara upo eneo la Tengeru |
| Msafara wa harusi yake ukiwa eneo la Usa River. |
| Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Mkoani Arusha, Joshua Samwel Nassari na Mke wake Anande. |
| Msafara wa magari maeneo ya Usa River |
| Warufukutwa wa Chadema na madereva wa pikipiki za bodaboda nao walikuwepo . |
| Yerooo, jamii ya wafugaji wa kimasai nao walikuwepo. |
No comments:
Post a Comment