Wednesday 10 October 2012

WAREMBO NA MH LOWASSA

Warembo wa Redd's Miss Tanzania wa 2012 walipotembelea wilayani Monduli Mkoa wa Arusha na walikutana na Mbunge wa Jimbo hilo na Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Ngoyai Lowassa (watatu kulia) ni Miss Mbulu Mkoa wa Manyara Lucy Stephano alishinda taji la Redds Miss Photogenic 2012


No comments:

Post a Comment