Thursday 18 October 2012

MAMA MPAMBANAJI

Asha Saidi Mkazi wa Mji mdogo wa Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara akichekecha mchanga kwenye machimbo ya madini ya Tanzanite kama alivyo kutwa kwenye eneo la Kitalu D.

No comments:

Post a Comment