Saturday 6 October 2012

RC,DC NA RPC

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Elaston Mbwilo,Mkuu wa wilaya ya Kiteto Brigedia Jenerali Cosmas Kayombo na Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Manyara Akili Mpwapwa wakipokelewa Naisinyai walipotembelea kituo cha Polisi Naisinyai ambacho kimemalizika kwa kujengwa na nguvu za wananchi na Kampuni ya TanzaniteOne

1 comment:

  1. Mkuu wa Mkoa wa Manyara Elaston Mbwilo na Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Manyara Akili Mpwapwa wakipokelewa Naisinyai walipotembelea kituo cha Polisi Naisinyai ambacho kimemalizika kwa kujengwa na nguvu za wananchi na Kampuni ya TanzaniteOne

    ReplyDelete