Saturday 6 December 2014

MKUTANO WA CHADEMA


Mgombea Uenyekiti wa Kitongoji cha Tunduru, Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Chengula akinadi sera za Chadema kwenye mkutano wa kampeni.

Wakazi wa Kitongoji cha Tunduru, Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakimsikiliza mgombea Uenyekiti Christopher Chengula akinadi sera za chama hicho kwenye mkutano wa kampeni.

Katibu Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Ambrose Ndege akizungumza na wakazi wa Kitongoji cha Tunduru, wakati akinadi sera za chama hicho kwenye mkutano wa kampeni.

Mgombea Uenyekiti wa Kitongoji cha Kazamoyo Juu David Kyara, akizungumza na wakazi wa Kitongoji cha Tunduru, Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, kwenye mkutano wa kampeni wa Chadema.

No comments:

Post a Comment