Friday 12 December 2014

KAMPENI CCM


Wagombea 12 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Vitongoji vya kata ya Endiamtu, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, waliopita bila kupingwa wakiwasikiliza wagombea nane wa vitongoji vya kata ya Mirerani.
Baadhi ya wagombea wa Chama Cha Mapinduzi CCM wa kata ya Mirerani, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiwa kwenye mkutano wa kampeni kwenye kata hiyo.

No comments:

Post a Comment