Sunday 14 December 2014

WANAMSIMIKA KIONGOZI WAO



Wananchi na wazee wa kimila wa Kijiji cha Kambi ya Chokaa, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakimsimika Joshua Kuney kuwa Mwenyekiti wa Kijiji hicho, baada ya jina lake kukatwa na viongozi wa CCM wa Wilaya hiyo na kumshinda Mbuki Mollel kwa kura 335 kwa 215.



Wakazi wa Kijiji cha Kambi ya Chokaa, Kata ya Naisinyai Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiandamana kwenda ofisi ya Serikali ya Kijiji kumsimika Joshua Kuney kuwa Mwenyekiti wa Kijiji hicho, ambaye awali katika kura ya maoni ya CCM alishinda na jina lake kuenguliwa, alipata kura 335 na kumshinda Mbuki Mollel aliyepata 215.

Wananchi wa Kijiji cha Kambi ya Chokaa, Kata ya Naisinyai Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiandamana kwenda ofisi ya Serikali ya Kijiji kumsimika Joshua Kuney kuwa Mwenyekiti wa Kijiji hicho, ambaye awali katika kura ya maoni ya CCM alishinda na jina lake kuenguliwa, alipata kura 335 na kumshinda Mbuki Mollel aliyepata 215

No comments:

Post a Comment