Wednesday 24 December 2014

MWENYEKITI AKATALIWA KUHAPISHWA



Mwenyekiti mteule wa Kijiji cha Kambi ya Chokaa, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Mbuki Mollel akiwa kwenye Mahakama ya mwanzo Mirerani, ambapo Hakimu Godfrey Haule aligoma kumuapisha akidai kuwa kuna utata wa uteuzi wake kwani anadaiwa kushindwa na Joshua Kuney kwenye uchaguzi wao.


No comments:

Post a Comment