Friday 26 December 2014

TUNAKULA KIAPO


Wenyeviti wa Vitongoji vya Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiapishwa na Hakimu Godfrey Haule wa Mahakama ya Mwanzo Mirerani.
 Hakimu Godfrey Haule wa Mahakama ya Mwanzo Mirerani, akiwapa somo Wenyeviti wa Vijiji, Vitongoji na wajumbe wa Serikali za Mitaa wa Tarafa ya Moipo kabla ya kuwaapisha.
Wenyeviti wa Vitongoji vya Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiapishwa na Hakimu Godfrey Haule wa Mahakama ya Mwanzo Mirerani.

No comments:

Post a Comment