Thursday 25 December 2014

MWENYEKITI WETUUU



Wananchi wa Kijiji cha Kambi ya Chokaa, Kata ya Naisinyai Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wakiwa wamembeba juu Joshua Kuney ambaye alishinda kwenye kura ya maoni ya CCM kuwa Mwenyekiti wa kijiji hicho kwa kura 335 dhidi ya Mbuki Mollel aliyepata kura 215.

No comments:

Post a Comment