Monday 28 January 2013

RPC MANYARA

Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Manyara,Kamishna Msaidizi Akili Mpwapwa akisoma taarifa yao kwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara,Elaston Mbwilo wakati wa zoezi la ugawaji wa pikipiki 25 zilizotolewa na Serikali kwa polisi wakaguzi wa Jamii wa Tarafa za mkoa huo.

No comments:

Post a Comment