Thursday 24 January 2013

KAMANDA

Mtu anayedaiwa kuvaa nguo za jeshi la JWTZ Abubakari Sufiani (29) akiwa na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Lema na Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari kwenye mkutano wa Chadema wa vuguvugu la mabadiliko (MVC) uliofanyika Desemba 23 mwaka jana mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara,hata hivyo Sufiani alikamatwa jana mji mdogo wa Boma Ng’ombe Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro na polisi wakishirikiana na askari wa JWTZ wa Monduli na Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment