Tuesday 28 January 2014

TUNACHANGIA HOJA KIKAONI



Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Mkoani Manyara, Vrajilal Jituson akizungumza kwenye mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya mkoa huo, ambapo alisema sheria ya manunuzi inatakiwa ibadilishwe.


Mbunge wa Vitimaalum Mkoa wa Manyara, Pauline Gekul akizungumza juzi kwenye mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya mkoa huo, ambapo alisema viongozi wanatakiwa kujali utawala bora wenye kufuata sheria.

No comments:

Post a Comment