Tuesday 28 January 2014

BARAZA LA MADIWANI MBULU



Mwenyeki wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, Paul Zacharia Isaay akizungumza wakati wa kupitisha bajeti ya shilingi bilioni 39 ya wilaya hiyo (kushoto) ni Makamu Mwenyekiti, Joseph Guulo Mandoo na (kulia) Mkurugenzi Mtendaji Fortunatus Fwema.



Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, Anatory Choya akizungumza kwenye Baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya hiyo.

No comments:

Post a Comment