Tuesday 28 January 2014

KIKAO RCC MANYARA



Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya mkoa huo (RCC) mjini Babati.



Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Kapteni Mstaafu George Huruma Mkuchika akizungumza kwenye Mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Manyara mjini Babati.

No comments:

Post a Comment