Friday 8 June 2018

MAMBO YA FUTARI

Mambo ya futari hayoooo, mkazi wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Muhsin Issa akinunua boga kwa ajili ya kufuturu kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani, boga hilo huuzwa kwa shilingi elfu 4.

No comments:

Post a Comment