Monday 1 July 2013

NYALANDU NA OHAYODA

                                                                                   

             Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu  akikamata gazeti la Ohayoda linalotengenezwa mji mdogo wa Haydom Wilayani Mbulu Mkoani Manyara (katikati) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Ohayoda,Amani Paulo na Mchungaji kiongozi wa KKKT Usharika wa Haydom,John Nade

No comments:

Post a Comment