Friday 26 July 2013

MTUHUMIWA NAMBA MOJA



Janeth Jackson (32), mkazi wa Moshono, Arusha mke wa Jack Manjuru alifikishwa jana mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Arusha, Devotha Kamuzora, akisomewa makosa mawili ya kula njama ya kutaka kumuua Simon Jackson Kaijage Manjuru ambaye ndiye mume wa Janeth.

No comments:

Post a Comment