Sunday 7 July 2013

MAMBO YA OBAMA

                                                                

                              Mambo ya Obama hayoo



         Rais wa Marekani Barack Obama na Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete wakifurahia ngoma za utamaduni alipofanya ziara Tanzania Julai mosi mwaka huu



      Rais wa Marekani Barack Obama na Rais wa Tanzania    Jakaya Kikwete akisalimiana na baadhi ya watu  waliokuja kumpokea Obama alipofanya ziara Tanzania Julai mosi mwaka huu.

No comments:

Post a Comment